VYANZO VYA MATESO SAUDI ARABIA
VYANZO VYA MATESO SAUDI ARABIA
Kwa mda wa miaka kadhaa,kazi za uarabuni zimekuwa zikiwavutia wasichana sio tu humu nchini Bali pia wale wa mataifa mengi na ni kazi ambazo wengi waliona zitawapiga jeki katika kukabiliana na makali ya maisha
Wale ambao hutafta kazi hizo za uarabuni,hutumia mawakala ambao huwaunganisha na waajiri.Baadhi ya mawakala hao wamesajiliwa ilhali hufanya shughuli hiyo kinyume na sheria.Hivo wakati mwingine kwa wasichana Hawa huwa vigumu kubainisha mawakala walioidhinishwa na wale bandia
Visa vingi vimeripotiwa hapa nchini vya wasichana kutoweka punde tuu wapoelekea uarabuni kwa kazi tofauti.Baadhi ya vidosho hao hurejeshwa humu nyumbani wakiwa mahututi na wengine wakiwa wamefariki
Licha ya serikali kwa mda mrefu kuwa kimya kuhusiana na changamoto wanazokumbana nazo wasichana wegi ughaibuni wito umekuwa ukitolewa kwa serikali kubainisha mchakato wa wakenya wanaotafta kazi katika mataifa haya
Aidha mawakala bandia wakusafirisha wakenya kuelekea katika mataifa ya kiarabu kufanya kazi ndio chanzo kinachotajwa kwa wakenya wanaoenda kwenye milki hizo za kiarabu
Akizungumza afisa wa maswala ya dharura katika shirika la kutetea haki za binadamu la MUHURI Francis Auma amesema hali ya mawakala ghushi imechangia pakubwa Hilo akiulaumu ubalozi wa Kenya nchini Saudi Arabia kwa kutotilia maanani mateso wanayopitia wakenya kwenye taifa hilo
Auma ameitaka serikali kupitia wizara ya maswala ya nchi za kigeni kuja na suluhu mwafaka ya kuhakikisha wakenya wanakua na usalama wanapokwenda kufanya kazi katika nchi hizo akisema kutowahakikishia usalama wa kikazi wakenya pia inachangia kwa waajiri wao kuzidi kuwanyanyasa
MHARIRI;LYDIA ANN
Nice
ReplyDeleteKazi nzuri
ReplyDeleteNice one ๐
ReplyDeleteKazi mzuri
ReplyDeleteKazi nzuri dada
ReplyDeleteSwafi kabsa
ReplyDeleteMarvellous ๐๐๐
ReplyDeleteKazi safi
DeleteKazi safi
ReplyDeleteHongera
ReplyDeleteGood piece
ReplyDeleteThat's so nice
ReplyDeleteGood article
ReplyDeleteWow good very true
ReplyDeleteInteresting this should be published ๐ฏ
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeleteKazi njema. Pongezi kwa hilo.
ReplyDeleteTrue..nice work ๐
ReplyDeleteKazi nzuri...yafaa kuchapishwa
ReplyDeleteKazi swafi sana๐ฅ๐ฅ
ReplyDelete๐๐๐
ReplyDeleteGood ๐๐
ReplyDelete๐
ReplyDeleteNice work Ann
ReplyDeleteGood work lydia
ReplyDeleteNice work madam Lydia ๐๐keep it up
ReplyDeleteNice work
ReplyDeleteGreat work Keep uu
ReplyDeleteNice article ๐ฅ
ReplyDeleteNice article ๐
ReplyDeleteSwadakta ๐ kazi safi Lydia keep it up ๐
ReplyDeleteI realy accept these as said
ReplyDeleteKongole dada๐ฏ
ReplyDeleteNice article✅✅
ReplyDelete✅✅✅♥️
ReplyDeleteNice work,,kongole Kwa kazi njema
ReplyDeleteNice, Good work
ReplyDeleteClassic article madam.
ReplyDeleteGood work sister ๐
ReplyDeleteAwesome,keep it up
ReplyDeleteHili Hunijumbusha Rafki Yangu Bado Yuko Hizi Sehemu ๐ข
ReplyDeleteGood job..keep it up๐๐๐๐
ReplyDeleteGood work
ReplyDeleteGood work
ReplyDeleteBig up ๐well done
ReplyDeleteKazi nzuri
ReplyDeleteBig up sana
ReplyDeleteNyc
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeleteKazi nzuri
ReplyDeleteGreat job
ReplyDeleteAmazing ๐๐๐๐๐
ReplyDeleteGood
ReplyDeleteGreat article
ReplyDeleteGood
ReplyDeleteNice
ReplyDeleteInteresting
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeleteKazi nzuri
ReplyDeleteKazi Nzuri ya kuelimisha
ReplyDeleteMashallah
ReplyDeleteNice work Ann
ReplyDeleteVery educative
Good. Informational
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeleteGood work cuzo
ReplyDelete